Yohana 11:25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Matendo 2:24 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+ Matendo 13:32, 33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 32 “Basi tunawatangazia habari njema kuhusu ahadi iliyotolewa kwa mababu. 33 Mungu ameitimiza kikamili kwetu sisi, watoto wao, kwa kumfufua Yesu;+ kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili: ‘Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa Baba yako.’+
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+
32 “Basi tunawatangazia habari njema kuhusu ahadi iliyotolewa kwa mababu. 33 Mungu ameitimiza kikamili kwetu sisi, watoto wao, kwa kumfufua Yesu;+ kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili: ‘Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa Baba yako.’+