Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+ Mwanzo 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa nini ukakimbia kisiri na kunishinda akili wala usiniambie, ili nipate kukuaga kwa shangwe na kwa nyimbo,+ kwa tari na kwa kinubi?+
25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+
27 Kwa nini ukakimbia kisiri na kunishinda akili wala usiniambie, ili nipate kukuaga kwa shangwe na kwa nyimbo,+ kwa tari na kwa kinubi?+