Mwanzo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Baada ya muda Ada akamzaa Yabali. Akawa mwanzilishi wa wale wanaokaa katika mahema+ na walio na mifugo.+ Waebrania 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+
20 Baada ya muda Ada akamzaa Yabali. Akawa mwanzilishi wa wale wanaokaa katika mahema+ na walio na mifugo.+
9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+