18 Naye Isaka akaanza tena kuchimba visima vya maji ambavyo walikuwa wamechimba siku za Abrahamu baba yake lakini ambavyo Wafilisti walikuwa wameviziba baada ya kifo cha Abrahamu;+ naye akaviita tena kwa majina yale ambayo baba yake alikuwa ameviita.+