9 Yosefu akamwambia baba yake: “Hawa ndio wanangu ambao Mungu amenipa nikiwa mahali hapa.”+ Basi akasema: “Tafadhali, walete kwangu nipate kuwabariki.”+
28 Yote hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno ambayo baba yao aliwaambia alipokuwa akiwabariki. Alimbariki kila mmoja kupatana na baraka yake.+