Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yosefu akamwambia baba yake: “Hawa ndio wanangu ambao Mungu amenipa nikiwa mahali hapa.”+ Basi akasema: “Tafadhali, walete kwangu nipate kuwabariki.”+

  • Mwanzo 49:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yote hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno ambayo baba yao aliwaambia alipokuwa akiwabariki. Alimbariki kila mmoja kupatana na baraka yake.+

  • Waebrania 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa imani pia Isaka alimbariki Yakobo+ na Esau+ kuhusu mambo yatakayokuja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki