Mwanzo 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha nifanyie chakula kitamu, kile ninachokipenda sana, halafu uniletee na, ah, acha nile, ili kwamba nafsi yangu ipate kukubariki wewe kabla ya kufa kwangu.”+ Mwanzo 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Isaka akamwita Yakobo akambariki na kumwamuru akisema: “Usichukue mke kutoka kwa binti za Kanaani.+ Kumbukumbu la Torati 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sasa hii ndiyo baraka+ ambayo Musa mtu wa Mungu wa kweli+ aliwabariki nayo wana wa Israeli kabla ya kifo chake. Waebrania 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+
4 Kisha nifanyie chakula kitamu, kile ninachokipenda sana, halafu uniletee na, ah, acha nile, ili kwamba nafsi yangu ipate kukubariki wewe kabla ya kufa kwangu.”+
28 Basi Isaka akamwita Yakobo akambariki na kumwamuru akisema: “Usichukue mke kutoka kwa binti za Kanaani.+
33 Sasa hii ndiyo baraka+ ambayo Musa mtu wa Mungu wa kweli+ aliwabariki nayo wana wa Israeli kabla ya kifo chake.
21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+