Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na abarikiwe Mungu Aliye Juu Zaidi,+

      Ambaye amewatia wakandamizaji wako mkononi mwako!”+

      Kisha Abramu akampa sehemu ya kumi ya kila kitu.+

  • Mambo ya Walawi 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Na kila sehemu ya kumi+ ya nchi, kutoka katika mbegu ya nchi na tunda la mti, ni ya Yehova. Ni kitu kitakatifu kwa Yehova.

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki