11 Mwishowe akafanya wale ngamia wapige magoti chini nje ya jiji kwenye kisima cha maji karibu na wakati wa jioni,+ karibu na wakati ambao wanawake wanaoteka maji walikuwa na desturi ya kutoka nje.+
15 Baadaye Farao akasikia juu ya jambo hilo, naye akajaribu kumuua Musa;+ lakini Musa akakimbia+ toka kwa Farao apate kuishi katika nchi ya Midiani;+ naye akaketi kando ya kisima.
6 Kwa kweli, chemchemi+ ya Yakobo ilikuwa hapo. Basi Yesu, kwa kuwa alikuwa amechoka kwa sababu ya safari hiyo, alikuwa ameketi kando ya chemchemi kama vile alivyokuwa. Ilikuwa karibu saa sita.