-
Yohana 4:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Kwa kweli, bubujiko la Yakobo lilikuwa hapo. Basi Yesu, akiwa amechoka kabisa kutokana na safari hiyo, alikuwa ameketi kwenye bubujiko kama vile alivyokuwa. Ilikuwa karibu saa ya sita.
-