Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kulikuwa na suria wake pia, ambaye jina lake lilikuwa Reuma. Baada ya muda yeye pia akazaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.+

  • Mwanzo 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini wana wa masuria ambao Abrahamu alikuwa nao Abrahamu aliwapa zawadi.+ Kisha alipokuwa bado hai, akawaagiza waende kutoka kwa Isaka mwana wake,+ upande wa mashariki, kwenye nchi ya Mashariki.+

  • Mwanzo 35:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+

      Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki