Mwanzo 31:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Miaka hii 20 nimekuwa pamoja nawe. Kondoo-jike zako na mbuzi-jike zako hawakutokwa na mimba,+ na kondoo-dume wa kundi lako sikuwala kamwe. Waefeso 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+
38 Miaka hii 20 nimekuwa pamoja nawe. Kondoo-jike zako na mbuzi-jike zako hawakutokwa na mimba,+ na kondoo-dume wa kundi lako sikuwala kamwe.
8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+