Luka 9:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa hiyo akatuma wajumbe kumtangulia. Nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria,+ kumfanyia matayarisho; Luka 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+
52 Kwa hiyo akatuma wajumbe kumtangulia. Nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria,+ kumfanyia matayarisho;
32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+