Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ee nafsi yangu, usiingie katika kikundi chao cha rafiki.+ Ee mwelekezo wangu, usiungane na kutaniko lao,+ kwa sababu katika hasira yao waliwaua watu,+ na katika udhalimu wao walikata mishipa ya ng’ombe-dume.

  • Mwanzo 49:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ilaaniwe hasira yao,+ kwa sababu ni katili,+ na ghadhabu yao, kwa sababu hutenda kwa ukali.+ Acheni niwagawanye katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.+

  • Zaburi 140:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+

      Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+

  • Mika 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki