Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ 1 Petro 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+