Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+

      Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+

      Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+

  • Zaburi 94:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wao hushambulia vikali nafsi ya mwadilifu+

      Na kutangaza kwamba damu ya mtu asiye na hatia ni yenye uovu.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Mathayo 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki