Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+ Zaburi 94:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao hushambulia vikali nafsi ya mwadilifu+Na kutangaza kwamba damu ya mtu asiye na hatia ni yenye uovu.+ Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Mathayo 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
21 Wao hushambulia vikali nafsi ya mwadilifu+Na kutangaza kwamba damu ya mtu asiye na hatia ni yenye uovu.+
19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+