16 Basi akamwendea kando ya barabara akamwambia: “Tafadhali, niruhusu nilale nawe.”+ Kwa kuwa hakujua kwamba alikuwa binti-mkwe wake.+ Hata hivyo, akasema: “Utanipa nini ili ulale nami?”+
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+