Mwanzo 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Farao aliwakasirikia watumishi wake.+ Kwa hiyo akanitia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mimi na mkuu wa waokaji. Methali 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ghadhabu ya mfalme ni kama wajumbe wa kifo,+ lakini mwenye hekima huigeuza.+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
10 Farao aliwakasirikia watumishi wake.+ Kwa hiyo akanitia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mimi na mkuu wa waokaji.
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+