Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini ikiwa hamtafanya hivyo, mtakuwa mmemtendea Yehova dhambi.+ Na kwa hiyo jueni kwamba dhambi yenu itawafikia ninyi.+

  • Methali 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+

  • Mathayo 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa;+ na kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi.+

  • 1 Timotheo 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki