Mwanzo 37:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye Rubeni akaendelea kuwaambia: “Msimwage damu.+ Mtupeni ndani ya shimo hili la maji lililo nyikani wala msimtendee kwa jeuri.”+ Alikusudia kumwokoa kutoka katika mikono yao ili amrudishe kwa baba yake. Mwanzo 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wana wa Rubeni walikuwa Hanoki na Palu na Hezroni na Karmi.+
22 Naye Rubeni akaendelea kuwaambia: “Msimwage damu.+ Mtupeni ndani ya shimo hili la maji lililo nyikani wala msimtendee kwa jeuri.”+ Alikusudia kumwokoa kutoka katika mikono yao ili amrudishe kwa baba yake.