Mwanzo 37:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akalichunguza na kusema: “Ni vazi la mwanangu! Mnyama-mwitu mkali amemrarua!+ Hakika Yosefu ameraruliwa vipande-vipande!”+ Mwanzo 44:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi tukamwambia bwana wangu, ‘Tuna baba aliye mzee na mtoto wa uzee wake, aliye mdogo zaidi.+ Lakini ndugu yake amekufa hivi kwamba yeye tu ndiye aliyesalia wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’
33 Naye akalichunguza na kusema: “Ni vazi la mwanangu! Mnyama-mwitu mkali amemrarua!+ Hakika Yosefu ameraruliwa vipande-vipande!”+
20 Basi tukamwambia bwana wangu, ‘Tuna baba aliye mzee na mtoto wa uzee wake, aliye mdogo zaidi.+ Lakini ndugu yake amekufa hivi kwamba yeye tu ndiye aliyesalia wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’