Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 42:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Baada ya hayo Yosefu akatoa amri, nao wakavijaza kabisa vyombo vyao nafaka. Pia, walipaswa kurudisha pesa za watu hao kwenye gunia la kila mmoja wao+ na kuwapa vyakula kwa ajili ya safari.+ Ndivyo walivyofanyiwa.

  • Mwanzo 42:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Ikawa kwamba walipokuwa wakitoa vilivyokuwa ndani ya magunia yao tazama, kifurushi cha pesa cha kila mmoja wao kilikuwa katika gunia lake. Na wao na baba yao pia wakapata kuona vifurushi vyao vya pesa, nao wakaogopa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki