45 mpaka hasira ya ndugu yako igeukie mbali nawe, naye awe amesahau yale uliyomtendea.+ Nami kwa hakika nitapeleka habari nikuchukue kutoka huko. Kwa nini nifiwe pia na ninyi wawili siku moja?”
36 Kisha Yakobo baba yao akawaambia: “Mmefanya mimi nifiwe!+ Yosefu hayuko naye Simeoni hayuko,+ na Benyamini mtamchukua! Mambo yote hayo yamenijia mimi!”