14 Ndiyo, Enoko,+ wa saba kutoka kwa Adamu, alitoa unabii pia kuwahusu, wakati aliposema: “Tazama! Yehova alikuja pamoja na watakatifu wake makumi ya maelfu,+
15 ili kufanya hukumu juu ya wote,+ na kuwathibitisha kuwa ni wenye hatia wote wasiomwogopa Mungu kuhusu matendo yao yote ya kutomwogopa Mungu ambayo walitenda kwa njia ya kutomwogopa Mungu, na kuhusu mambo yote ya kushtua ambayo watenda-dhambi wasiomwogopa Mungu walisema juu yake.”+