Mwanzo 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini sasa msihuzunike+ wala msijikasirikie kwa sababu mliniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma mbele yenu ili kuhifadhi uhai.+ Methali 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anayewanyima watu nafaka—watu watamlaani, lakini kuna baraka kwa ajili ya kichwa cha mtu anayekubali inunuliwe.+ Matendo 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini njaa ikaja juu ya Misri yote na Kanaani, hata dhiki kuu; na mababu zetu hawakuwa wakipata chakula chochote.+
5 Lakini sasa msihuzunike+ wala msijikasirikie kwa sababu mliniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma mbele yenu ili kuhifadhi uhai.+
26 Anayewanyima watu nafaka—watu watamlaani, lakini kuna baraka kwa ajili ya kichwa cha mtu anayekubali inunuliwe.+
11 Lakini njaa ikaja juu ya Misri yote na Kanaani, hata dhiki kuu; na mababu zetu hawakuwa wakipata chakula chochote.+