Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 47:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi wakasema: “Umehifadhi uhai wetu.+ Na tupate kibali machoni pako bwana wangu, nasi tutakuwa watumwa wa Farao.”+

  • Mwanzo 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+

  • 1 Samweli 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+

      Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+

  • Zaburi 33:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ili kuikomboa nafsi yao na kifo,+

      Na kuwahifadhi hai wakati wa njaa.+

  • Zaburi 105:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akamtuma mtu mbele yao,

      Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki