Mwanzo 47:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi wakasema: “Umehifadhi uhai wetu.+ Na tupate kibali machoni pako bwana wangu, nasi tutakuwa watumwa wa Farao.”+ Mwanzo 50:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+ 1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+ Zaburi 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ili kuikomboa nafsi yao na kifo,+Na kuwahifadhi hai wakati wa njaa.+ Zaburi 105:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamtuma mtu mbele yao,Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+
25 Basi wakasema: “Umehifadhi uhai wetu.+ Na tupate kibali machoni pako bwana wangu, nasi tutakuwa watumwa wa Farao.”+
20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+
6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+