Mhubiri 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+ Yeremia 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua? Mathayo 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+
29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+
19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+