Mwanzo 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela katika shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti lililoko mbele ya Mamre,+ Mwanzo 49:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kisha akawaamuru na kuwaambia: “Mimi ninakusanywa kwa watu wangu.+ Nizikeni pamoja na baba zangu katika pango lililo katika shamba la Efroni Mhiti,+
9 Basi Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela katika shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti lililoko mbele ya Mamre,+
29 Kisha akawaamuru na kuwaambia: “Mimi ninakusanywa kwa watu wangu.+ Nizikeni pamoja na baba zangu katika pango lililo katika shamba la Efroni Mhiti,+