15 Nami nitalikumbuka agano langu+ ambalo liko kati yangu nanyi na kila nafsi iliyo hai kati ya wote wenye mwili;+ na maji hayatakuwa gharika tena ili kuuharibu mwili wote.+
9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+