Mwanzo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova Mungu akamchukua mtu na kumweka katika bustani ya Edeni,+ ailime na kuitunza.+ 2 Timotheo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mkulima anayefanya kazi kwa bidii lazima awe wa kwanza kula sehemu ya matunda.+