Ayubu 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwake Yeye anayevunja hila za werevu,Hivi kwamba mikono yao haifanyi kazi ikawa na matokeo;+ Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+ Zaburi 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwavuruge, Ee Yehova, ugawanye ulimi wao,+Kwa maana nimeona jeuri na kuzozana jijini.+
12 Kwake Yeye anayevunja hila za werevu,Hivi kwamba mikono yao haifanyi kazi ikawa na matokeo;+ Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+ Zaburi 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwavuruge, Ee Yehova, ugawanye ulimi wao,+Kwa maana nimeona jeuri na kuzozana jijini.+