Mwanzo 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi ikawa kwamba baada ya mambo hayo habari ikamfikia Abrahamu: “Tazama, Milka+ pia amemzalia Nahori+ ndugu yako wana: Mwanzo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, ikawa kwamba kabla hajamaliza kusema,+ tazama, Rebeka, aliyezaliwa na Bethueli+ mwana wa Milka+ mke wa Nahori,+ ndugu ya Abrahamu, alikuwa akitoka nje na mtungi wake wa maji ukiwa begani mwake.+
20 Basi ikawa kwamba baada ya mambo hayo habari ikamfikia Abrahamu: “Tazama, Milka+ pia amemzalia Nahori+ ndugu yako wana:
15 Basi, ikawa kwamba kabla hajamaliza kusema,+ tazama, Rebeka, aliyezaliwa na Bethueli+ mwana wa Milka+ mke wa Nahori,+ ndugu ya Abrahamu, alikuwa akitoka nje na mtungi wake wa maji ukiwa begani mwake.+