Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+

      Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Zaburi 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+

  • Isaya 58:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’

      “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+

  • Isaya 65:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na kwa kweli itakuwa kwamba kabla hawajaita mimi mwenyewe nitajibu;+ wakiwa bado wanasema, mimi nitasikia.+

  • 1 Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki