Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Isaya 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+ Isaya 65:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na kwa kweli itakuwa kwamba kabla hawajaita mimi mwenyewe nitajibu;+ wakiwa bado wanasema, mimi nitasikia.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+
24 Na kwa kweli itakuwa kwamba kabla hawajaita mimi mwenyewe nitajibu;+ wakiwa bado wanasema, mimi nitasikia.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+