Methali 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwanzo wa ugomvi ni kama mtu anayefungulia maji;+ kwa hiyo kabla mabishano hayajalipuka, jiondokee.+ Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, iweni wenye kufanya amani+ na watu wote. Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+
14 Mwanzo wa ugomvi ni kama mtu anayefungulia maji;+ kwa hiyo kabla mabishano hayajalipuka, jiondokee.+