Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+ 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+