Waroma 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+ Waroma 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo “ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+ Wagalatia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kama vile Abrahamu “alivyokuwa na imani katika Yehova, na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+
13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+