Mwanzo 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawa na imani katika Yehova;+ naye akamhesabia kuwa ni uadilifu.+ Waroma 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana andiko linasema nini? “Abrahamu alionyesha imani katika Yehova, na hilo likahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+ Yakobo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova, na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu,”+ naye akaitwa “rafiki ya Yehova.”+
3 Kwa maana andiko linasema nini? “Abrahamu alionyesha imani katika Yehova, na hilo likahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+
23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova, na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu,”+ naye akaitwa “rafiki ya Yehova.”+