Mwanzo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+ 1 Mambo ya Nyakati 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hizi ndizo asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu,+ Waefeso 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+
13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+
29 Hizi ndizo asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu,+
8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+