18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+
13 Baada ya hayo mtu aliyekuwa ameponyoka akaja na kumwambia Abramu Mwebrania.+ Wakati huo alikuwa akikaa kati ya miti mikubwa ya Mamre yule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na ndugu ya Aneri;+ nao walikuwa washirika wa Abramu.