Mwanzo 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye Yehova akamtokea+ kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ alipokuwa ameketi kwenye mwingilio wa hema karibu na wakati wa joto la mchana.+ Mwanzo 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mke wake katika pango la shamba la Makpela mbele ya Mamre, yaani, Hebroni, katika nchi ya Kanaani.+ Mwanzo 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela katika shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti lililoko mbele ya Mamre,+
18 Baadaye Yehova akamtokea+ kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ alipokuwa ameketi kwenye mwingilio wa hema karibu na wakati wa joto la mchana.+
19 Na baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mke wake katika pango la shamba la Makpela mbele ya Mamre, yaani, Hebroni, katika nchi ya Kanaani.+
9 Basi Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela katika shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti lililoko mbele ya Mamre,+