7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+
22 “Mwenye Uwezo,+ Mungu,+ Yehova, Mwenye Uwezo, Mungu, Yehova,+ yeye anajua,+ na Israeli pia atajua.+ Ikiwa ni kwa uasi+ na ikiwa ni kwa kukosa uaminifu kwa Yehova,+ usituokoe leo hii.