Mwanzo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mimi nimeazimia kabisa kushuka ili nipate kuona kama wanatenda kabisa kulingana na kile kilio kilicho juu yake ambacho kimenifikia, na ikiwa sivyo, nitajua.”+ Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
21 Mimi nimeazimia kabisa kushuka ili nipate kuona kama wanatenda kabisa kulingana na kile kilio kilicho juu yake ambacho kimenifikia, na ikiwa sivyo, nitajua.”+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+