Mwanzo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+ Waamuzi 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+
3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+
17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+