Zaburi 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Urudi,+ Ee Yehova, uokoe nafsi yangu;+Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako zenye upendo.+ Mathayo 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nao wakaja na kumwamsha,+ wakisema: “Bwana, tuokoe, tuko karibu kuangamia!”