Mwanzo 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Farao akamwita Abramu na kusema: “Ni nini hili umenitendea? Kwa nini hukuniambia kwamba yeye ni mke wako?+ Mwanzo 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini Abimeleki akaendelea kusema: “Ni nini hili umetutendea sisi?+ Ilibaki kitambo kidogo tu na mmoja kati ya watu angelala na mke wako, nawe ungeleta hatia juu yetu!”+
18 Basi Farao akamwita Abramu na kusema: “Ni nini hili umenitendea? Kwa nini hukuniambia kwamba yeye ni mke wako?+
10 Lakini Abimeleki akaendelea kusema: “Ni nini hili umetutendea sisi?+ Ilibaki kitambo kidogo tu na mmoja kati ya watu angelala na mke wako, nawe ungeleta hatia juu yetu!”+