Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 47:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mwishowe siku za Israeli kufa zikakaribia.+ Basi akamwita mwana wake Yosefu, akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu,+ nawe unionyeshe fadhili zenye upendo na kweli.+ (Tafadhali, usinizike Misri.)+

  • Ruthu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Boazi akasema: “Yehova na akubariki,+ binti yangu. Umeonyesha fadhili zako zenye upendo+ kwa njia bora zaidi mara hii ya mwisho kuliko mara ya kwanza.+ Hukuwafuata vijana, wawe ni wa hali ya chini au matajiri.

  • 2 Samweli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+

  • Wakolosai 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki