Mwanzo 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?” Mwanzo 41:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu,+ na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Mimi nitakuwa mkuu kuliko wewe katika kiti cha ufalme tu.”+ 1 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+
2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu,+ na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Mimi nitakuwa mkuu kuliko wewe katika kiti cha ufalme tu.”+
2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+