Waebrania 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi na tukikaribie,+ tukiwa na uhuru wa kusema,+ kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa, ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa kuwa msaada kwa wakati unaofaa.+ 1 Yohana 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wapendwa, ikiwa mioyo yetu haituhukumu kuwa na hatia, tuna uhuru wa kusema kwa Mungu;+
16 Basi na tukikaribie,+ tukiwa na uhuru wa kusema,+ kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa, ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa kuwa msaada kwa wakati unaofaa.+