Mwanzo 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+ Matendo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+