Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Ndipo Labani na Bethueli wakajibu na kusema: “Jambo hili limetoka kwa Yehova.+ Sisi hatuwezi kukuambia baya wala jema.+

  • Hesabu 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki