Mwanzo 24:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Ndipo Labani na Bethueli wakajibu na kusema: “Jambo hili limetoka kwa Yehova.+ Sisi hatuwezi kukuambia baya wala jema.+ Hesabu 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+
50 Ndipo Labani na Bethueli wakajibu na kusema: “Jambo hili limetoka kwa Yehova.+ Sisi hatuwezi kukuambia baya wala jema.+
13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+