10 Nanyi mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile+ kwenu, nanyi mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake nanyi mtarudi kila mmoja kwa familia yake.+
50 Naye atafanya hesabu na mnunuzi wake tangu mwaka aliojiuza mpaka mwaka wa Yubile,+ na pesa za ununuzi wake zitalingana na hesabu ya miaka.+ Ataendelea kuwa pamoja naye jinsi ambavyo siku za kazi za mfanyakazi wa kukodiwa huhesabiwa.+